Social Icons

Wednesday, April 23, 2014

JUMUIYA YA KOKNI JAMAT YA ZANZIBAR YASHINDA BONANZA LA PASAKA ZIDI YA WENYEJI WAO WA BARA.



 Wachezaji wa Timu ya Kokni Jamat ya Zanzibar wakiteremka kwenye boti wakitokea Dar es laam kwenye Bonanza la Pasaka ambapo wamefanikiwa kuchukuwa makombe  matatu ya mshindi wa kwanza katika michezo ya Play Station,  mpira wa meza na mpira wa miguu dhidi ya wenyeji wao. Aliebeba kombe kubwa ni Rais wa Jumuia ya Kokn Jamat ya Zanzibar Jeff Babu.
 Wachezaji wa Timu ya Kokni Jamat ya Zanzibar katika picha ya pamoja.
Nahodha wa Timu ya Kokni Jamat Ibrahim Dalvi (kulia) na msaidizi wake Nabil Shamshuddin wakiwa wameshikilia kombe mara baada ya kuwasili Zanzibar.
PICHA NA MAKAME MSHENGA-MAELEZO ZANZIBAR.

No comments:

 
 
Blogger Templates