Social Icons

Thursday, April 10, 2014

CCM YAVUNA WANACHAMA WAPYA KIBAO KASULU



 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wakazi wa kijiji cha Nyenge  kata ya Kurugongo wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma ikiwa sehemu ya ziara yake mkoani humo.
 Mbunge wa Viti Maalum Ndugu Josephine Gezabuke akihutubia wakazi wa kijiji cha Nyenge kata ya Kurugongo wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika kijijini hapo na mgeni wa heshima alikuwa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.

No comments:

 
 
Blogger Templates